Friday 30 November 2012

MGENI WA MAISHA PLUS TOKA BURUNDI

   Kijijini cha Maisha kilitembelewa na mgeni kutoka Burundi. AISHA AMURI NDIMUBANDI anafanya kazi na Radio RPA Bujumbura.. Pichani akiwa na Babu..

Jumapili hii mshindi wa Maisha Plus 2012 atapatikana.. Presha imepanda kijijini.. Tafadhali endelea kumpiga kura mshiriki umpendae ili ashinde..

Tunaomba radhi kwa kuchelewa kuanza kipindi... Karibu TBC1 sasa kwa kipindi mkipendacho.. Powered by NMB and OXFAM.
 — with Aisha Amuri Ndimubandi.

No comments:

Post a Comment